Back to home

DHA yatetea ada ya 2% inayokatwa kwenye madai ya SHA

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 11, 2026
1h ago
Mamlaka ya Afya ya Kidijitali - DHA- imetetea ada ya asilimia mbili inayokatwa kutoka kwa madai yanayochakatwa kupitia Mamlaka ya SHA. Mamlaka hiyo inasisitiza kuwa ada hiyo ni halali na inalipiwa kwa huduma zinazotolewa kwa vituo vya afya. Afisa Mkuu wa Mamlaka hiyo Anthony Lena
Advertisement