Back to home
WAFCON: Timu nne zatinga nusu fainali zikilenga taji la kwanza
video
C
Citizen TV (Youtube)August 12, 2026
1h ago
Kombe la Mataifa ya Afrika la Wanawake, WAFCON, linaingia nusu fainali usiku wa leo huku timu nne zikiwa na nafasi sawa ya kushinda mashindano hayo kwa mara ya kwanza. Morocco, Cameroon, Algeria na Malawi hazijawahi kushinda mashindano hayo, huku Malawi ikishiriki kwa mara ya kwa
Advertisement
Advertisement




