Back to home
Maafisa wa usalama kutoka kaunti za Isiolo, Samburu na Marsabit watoa onyo kwa wezi wa mifugo
video
C
Citizen TV (Youtube)August 13, 2026
58m ago
Maafisa wa usalama kutoka kaunti za Isiolo, Samburu na Marsabit wawapa washukiwa wa wizi wa mifugo siku tano kurejesha mifugo walioibwa katika wiki za hivi karibuni. Makataa hayo yalitolewa wakati wa mkutano uliowahusisha wazee na viongozi wa eneo hilo katika Kaunti ya Samburu. M
Advertisement
Advertisement





