Back to home
Mwanariadha mkongwe Isaack Gacugo aanza kampeni kutembea kilomita 530
video
C
Citizen TV (Youtube)August 13, 2026
59m ago
Issack Gacugo, mwanariadha mkongwe wa mbio za masafa marefu, aanza kampeni ya kutembea kilomita 530 kuzunguka mlima Kenya, kwa lengo la kusaidia Chuo Kikuu cha Tharaka kukusanya shilingi milioni 50.
Advertisement
Advertisement









