Back to home
Wagonjwa walio mashinani wahangaika kwa SHA
video
C
Citizen TV (Youtube)August 13, 2026
2h ago
Wadau katika sekta ya afya waelezea wasiwasi wao kuhusu mahangaiko ya wagonjwa walioko mashinani hususan wazee, ambao wataabika kutokana na changamoto za Bima Ya SHA. Wakazi wengi wasiojiweza kimapato kutoka Kisii na Nyamira walazimika kutembea kilomita nyingi wakitafuta huduma z
Advertisement
Advertisement





