Back to home

PS Omollo aahidi usalama kwa mkutano wa Linda Mwananchi Homa Bay

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 13, 2026
2h ago
Katibu Mkuu katika Wizara ya Usalama, Raymond Omollo, amesisitiza kuwa muungano wa Linda Mwananchi utapewa ulinzi wakati wa mkutano wao wa Jumapili huko Homa Bay. Omollo amesema Linda Mwananchi una haki ya kuzuru eneo lolote na kuwaonya wahuni dhidi ya kuvuruga mkutano huo.
Advertisement