Back to home

Polisi katika eneo la Embu wafanya msako dhidi ya biashara haramu ya kamari

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 14, 2026
1h ago
Maafisa wa usalama katika eneo la Embu Mashariki waimarisha msako dhidi ya biashara haramu ya kamari, baada ya kuharibu kwa kuchoma mashine 57 za kamari zilizokamatwa katika operesheni ya pamoja iliyohusisha polisi, maafisa wa utawala na wa serikali ya kaunti ya Embu.
Advertisement