Back to home
Timu ya Kenya U20 yarudi nyumbani baada ya mafanikio Oregon
video
C
Citizen TV (Youtube)August 13, 2026
2h ago
Timu ya riadha ya Kenya kwa wachezaji walio chini ya miaka 20 imerejea nyumbani baada ya safari ya kuvutia katika Mashindano ya Dunia ya Riadha huko Oregon, Marekani.
Kenya ilimaliza ya pili kwa jumla ikiwa na medali nne za dhahabu, tatu za fedha na nne za shaba. Haya ni matokeo
Advertisement
Advertisement





