Back to home

Kizaazaa katika makafani ya Kilungu baada ya utata wa kifo cha Makau

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 13, 2026
2h ago
Kizaazaa kiliibuka katika makafani ya Hospitali ya Kilungu kufuatia matokeo ya upasuaji wa mwili wa Gedion Makau, aliyefariki akiwa ndani ya seli za polisi katika kituo cha Kilungu, Kaunti ya Makueni. Uchunguzi umebaini kuwa Makau alifariki kutokana na kukosa hewa, lakini ripoti
Advertisement