Back to home

Shabiki wa Bungoma ashinda Sh1 milioni katika kampeni ya Shabiki InaGive

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 13, 2026
2h ago
Felix Shioso sasa ameibuka mshindi wa kwanza wa kampeni ya Shabiki InaGive Shinda Million moja Kila Wiki.Shioso, mwenye umri wa miaka 29, ni mhudumu wa bodaboda kutoka kaunti ya Bungoma.
Advertisement