Back to home

Serikali yaweka mikakati ili kukabiliana na uhalifu nchini

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 13, 2026
2h ago
Serikali ikishirikiana na wadau wengine imekumbatia mbinu ya kuwawezesha vijana kwa kuwapa fursa za kujiimarisha kiuchumi ili kukabiliana na uhalifu ikiwemo uhuni nchini, Katibu Mkuu wa Usalama wa Taifa Raymond Omollo amesema kuwa kuna hatua ambazo tayari zimechukuliwa kupambana
Advertisement