Back to home
KRU kujenga upya Simbas baada ya kukosa kufuzu Kombe la Dunia
video
C
Citizen TV (Youtube)August 15, 2026
1h ago
Baada ya kutofuzu kwa Kombe la Dunia la mchezo wa raga mwaka 2027, Chama cha Raga Nchini (KRU) kimetangaza mikakati ya kujenga upya timu ya taifa ya wachezaji 15 kila upande, The Simbas, kwa kutumia wachezaji wa timu ya chipukizi wasiozidi umri wa miaka 20 walioshinda Kombe la Ba
Advertisement
Advertisement




