Back to home

Sabaot, Abukusu na Iteso waungana kwa amani Trans Nzoia

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 15, 2026
1h ago
Baada ya takribani karne moja ya mgawanyiko na migogoro, mamia ya wanajamii wa Sabaot kutoka Kenya na nchi jirani ya Uganda walijumuika na wenzao wa jamii za abukusu na iteso katika eneo la Marambachi, kaunti ya Trans Nzoia, kwa matambiko ya utakaso na kuondoa kisirani. Wanajamii
Advertisement