Back to home
Wakulima wa Taita Taveta wanufaika na Sh29.9 milioni za kuimarisha kilimo
video
C
Citizen TV (Youtube)August 17, 2026
1h ago
Wakulima kaunti ya Taita Taveta wamenufaika na shilingi milioni 29.9 kutoka kwa serikali ya kaunti kwa ajili ya kupiga jeki sekta ya kilimo hasa kusaidia wakulima hao kutafuta soko la mazao yao.
Advertisement
Advertisement





