Back to home
Maboma 200 Lugulu yaunganishwa na umeme
video
C
Citizen TV (Youtube)August 17, 2026
57m ago
Hatimaye maboma 200 katika kijiji cha Lugulu, eneo bunge la Butula, kaunti ya Busia yameunganishwa na umeme baada ya kukamilishwa na kuzinduliwa kwa mradi wa usambazaji umeme vijijini na Mkuu wa Utumishi wa Umma, Felix Koskei.
Advertisement
Advertisement





