Back to home
Viongozi wa mlima kenya wamkosoa Gachagua kwa madai ya udhalilishaji wa kisiasa
video
C
Citizen TV (Youtube)August 17, 2026
1h ago
Baadhi ya viongozi wa eneo la mlima Kenya wamemkosoa kiongozi wa DCP, Rigathi Gachagua, wakimtuhumu kwa kudhalilisha baadhi yao kisiasa.
Advertisement
Advertisement




