Back to home

Vijana wabunifu wakosa fursa na rasilimali za kukuza vipaji vyao

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 17, 2026
2h ago
Kwa miaka mingi, vijana wabunifu wamekuwa na vipaji vya kusimulia hadithi za Kenya, lakini wamekosa vifaa, mafunzo na majukwaa ya kuwawezesha kugeuza vipaji hivyo kuwa chanzo cha kujipatia kipato.
Advertisement