Back to home
Wabunge wanawake wakashifu vurugu za Homa Bay, wataka hatua za kisheria
video
C
Citizen TV (Youtube)August 17, 2026
2h ago
wabunge wanawake wamekashifu vikali vurugu zilizotokea Homa bay kwenye mkutano wa linda mwananchi. wakizungumza baada ya mkutano wao hapa nairobi, wameitaka idara ya usalama kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wahusika wote.
Advertisement
Advertisement





