Back to home
Viongozi wa Kenya Kwanza wamtetea Ruto, wakiwataka wapinzani wamngoje debe
video
C
Citizen TV (Youtube)August 17, 2026
2h ago
Baadhi ya viongozi wanaounga mkono serikali sasa wanasema hawatakubali Rais William Ruto kukosewa heshima na baadhi ya viongozi wa upinzani, wakisema iwapo wanataka kumkabili Rais, basi wamngoje debeni katika uchaguzi mkuu mwaka ujao.
Wakiongozwa na Waziri wa Nishati Opiyo Wanda
Advertisement
Advertisement





