Back to home
Wakazi Kiamariga walalamikia uhaba mkubwa wa maji
video
C
Citizen TV (Youtube)August 18, 2026
1h ago
Wakazi wa eneo la Kiamariga katika Wadi ya Salama, Kaunti ya Laikipia, wamelalamikia uhaba mkubwa wa maji unaolikabili eneo hilo. Wakazi hao wanasema kuwa changamoto zao za kutafuta rasilimali hiyo muhimu zimezidishwa na ongezeko la shughuli za umwagaji maji mashambani na idadi k
Advertisement
Advertisement





