Back to home

Viongozi Bungoma wataka serikali kuimarisha usalama kuelekea 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 18, 2026
1h ago
Serikali imetakiwa kuhakikisha Kuna usalama wa kutosha mbele Ya uchaguzi mkuu ujao kufuatia ghasia zilizoshudiwa katika kaunti ya homabay siku Ya jumapili.
Advertisement