Back to home
Homa Bay: Mwanamume anayetafutwa na polisi kuhusiana na ghasia zilizozuka ajisalimisha kwa polisi
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 18, 2026
2h ago
Mwanamume anayetafutwa na polisi kuhusiana na ghasia zilizozuka katika mkutano wa kisiasa Homa Bay amejisalimisha kwa maafisa wa usalama, lakini akakataliwa. Oliver Jaoko Ochieng alikuwa ameelezwa na polisi kujisalimisha na kusaidia katika uchunguzi wa ghasia hizo
Subscribe and
Advertisement
Advertisement





