Back to home

Serikali yakarabati Mradi wa Maji wa Sindo-Kinyasaga, ili kutatua uhaba wa maji katika Kaksingri

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 18, 2026
3h ago
Kwa muda mrefu, wakazi wa Kaksingri wamekuwa wakitegemea maji ya Ziwa Victoria kwa matumizi ya nyumbani, licha ya maji hayo kuwa machafu na kuhatarisha afya zao. Serikali imekarabati Mradi wa Maji wa Sindo-Kinyasaga, unaolenga kutatua uhaba wa maji katika eneo hilo. Subscribe a
Advertisement