Back to home
EACC yawakamata maafisa 9 wa Hazina kuhusu ufisadi wa Sh1.7bn
video
C
Citizen TV (Youtube)August 18, 2026
2h ago
Wahasibu wakuu 9 kutoka hazina kuu ya kitaifa wamekamatwa na kuzuiliwa katika afisi kuu za tume ya kukabiliana na ufisadi EACC, jijini Nairobi. Maafisa hawa wakihusishwa na madai ya ufisadi wa mradi wa uvumbuzi wa miradi ya uchumi mashinani wa thamani ya shilingi bilioni 1.7. kat
Advertisement
Advertisement





