Back to home
Simanzi Kamugunda baada ya mfanyakazi kudaiwa kumuua mwajiri
video
C
Citizen TV (Youtube)August 19, 2026
1h ago
Wingu la simanzi limetada eneo la Kamugunda ,eneo bunge la Gichugu Kaunti ya Kirinyaga kufuatia tukio la kushtua ambapo mfanyakazi anadaiwa kumuua mwajiri wake na kisha kutupa mwili wake kwenye kisima cha maji.
Advertisement
Advertisement





