Back to home

Washukiwa 30 wafikishwa mahakamani kwa madai ya ubadhirifu wa sh1.57 bilioni

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 19, 2026
1h ago
Washukiwa 30, wakiwemo maafisa wa Hazina ya Taifa na wamiliki wa biashara, wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka 121 yanayohusiana na madai ya ubadhirifu na matumizi mabaya ya zaidi ya shilingi bilioni 1.57 za mpango wa PROFIT.
Advertisement