Back to home
Upinzani yaitaka ICC kufuatilia kwa karibu hali nchini Kenya kufuatia madai ya ghasia za kisiasa
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 19, 2026
8h ago
Muungano wa Upinzani unaitaka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ICC, kufuatilia kwa karibu hali nchini Kenya, kufuatia madai ya ghasia za kisiasa zinazopangwa kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by
Advertisement
Advertisement





