Back to home

Maafisa wa polisi eneo la Mbeere South wachunguza kisa cha mauaji ya mwanamume aliyekuwa na miaka 35

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
51m ago
Maafisa wa polisi eneo la Mbeere South wachunguza kisa cha mauaji ya mwanamume aliyekuwa na miaka 35, pamoja na mpenziwe, ambao miili yao ilipatikana katika shamba la muguka katika kijiji cha Wikaze, kaunti ya Embu.
Advertisement