Back to home

Gavana kiarie badilisha adai kuhangaishwa kisiasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
3h ago
Gavana wa Kaunti ya Nyandarua, Dkt. Moses Kiarie Badilisha, ajitokeza kutuliza hofu kuhusu mipango ya kukamatwa kwake na Idara ya upelelezi wa makosa ya jinai (DCI) pamoja na tume ya maadili na kupambana na ufisadi (EACC) kuhusiana na madai ya ufisadi ambayo hayajaainishwa.
Advertisement