Back to home

Maabara kuu ya serikali yapokea cheti cha ISO/IEC 17025

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
1h ago
Maabara kuu ya serikali imepokea rasmi cheti cha idhibati cha ISO/IEC 17025 , hatua inayolenga kuimarisha uaminifu wa ushahidi wa kisayansi unaotumika katika uchunguzi wa uhalifu, kesi za mahakamani na masuala ya afya ya umma.
Advertisement