Back to home
Maabara kuu ya serikali yapokea cheti cha ISO/IEC 17025
video
C
Citizen TV (Youtube)August 20, 2026
1h ago
Maabara kuu ya serikali imepokea rasmi cheti cha idhibati cha ISO/IEC 17025 , hatua inayolenga kuimarisha uaminifu wa ushahidi wa kisayansi unaotumika katika uchunguzi wa uhalifu, kesi za mahakamani na masuala ya afya ya umma.
Advertisement
Advertisement





