Back to home
Familia 13,000 zapata afueni baada ya serikali kuondoa kesi ya kufurushwa
video
C
Citizen TV (Youtube)August 20, 2026
1h ago
Familia 13,000 zinazoishi katika shamba la Marehemu Isaaih Cheluget la ekari 5,800 zimepata afueni baada ya Serikali kutangaza rasmi kuondolewa kwa kesi inayolenga kuwafurusha.
Advertisement
Advertisement





