Back to home

Wakazi wa kijiji cha Kasarani huko Tana River wabomoa ua wa mawe kwenye kipande cha ardhi

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 21, 2026
1h ago
Wakazi wa kijiji cha Kasarani huko Tana River waliokuwa na ghadhabu wabomoa ua la kipande cha ardhi wadaicho kimenyakuliwa na bwenyenye mmoja mjini Hola.
Advertisement