Back to home

Kenya Kwanza wamkosoa Gachagua kwa ziara kwa familia ya Ng’eno

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 21, 2026
1h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza wamekosoa ziara ya kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua kwa familia ya aliyekuwa mbunge wa Emurua Dikir Johanna Ngeno. Viongozi hao waliokuwa wakizungumza kaunti ya Narok, wamesemaGachagua anatumia kifo cha Ng'eno kujitafutia umaarufu wa kisiasa. Hay
Advertisement