Back to home

Washukiwa wanne wakamatwa kwa kuuawa kwa tembo 18 Amboseli

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 22, 2026
2h ago
Washukiwa wanne wamekamatwa kufuatia vifo vya kutatanisha vya tembo 18 katika Hifadhi ya Amboseli. Washukiwa hao walikamatwa baada ya uchunguzi wa pamoja uliofanywa na maafisa wa Shirika la Huduma za Wanyamapori nchini (KWS), Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) na Huduma ya Kitaifa
Advertisement