Back to home
Familia ya Timothy Kwemoi yataka polisi kuwakamata wauaji
video
C
Citizen TV (Youtube)August 22, 2026
2h ago
Familia moja mjini Kitale inaitaka idara ya polisi kuharakisha uchunguzi na kuwakamata wahalifu walionaswa kwenye kamera za CCTV wakimuua mpendwa wao, Timothy Kwemoi. Timothy, ambaye alikuwa mhudumu wa bodaboda, aliuawa baada ya kumfikisha mteja wake katika eneo la Gatua majira y
Advertisement
Advertisement




