Back to home
Radio Citizen na Egesa FM zaendeleza ujumbe wa umoja
video
C
Citizen TV (Youtube)August 22, 2026
2h ago
Vituo vya Radio Citizen na Egesa FM vinavyomilikiwa na kampuni ya Royal Media Services vilijumuika na waumini wa Kanisa la Waadventista wa Sabato, katika ziara zinazolenga kuwashukuru wasikilizaji wao na kuendeleza ujumbe wa umoja wa kitaifa.
Advertisement
Advertisement
