Back to home
Upinzani waahidi kuungana kumwondoa Ruto madarakani
video
C
Citizen TV (Youtube)August 23, 2026
2h ago
Viongozi wa upinzani wamesema wataungana pamoja kuhakikisha wanamuondoa Rais William Ruto mamlakani katika uchaguzi mkuu ujao.
Wakizungumza eneo la Kitale, kaunti ya Trans Nzoia, wanasiasa hao wamesema watahakikisha wanamsimamisha mgombea mmoja ili kuimarisha nguvu ya upinzani.
Advertisement
Advertisement





