Back to home
Vijana Nyamira wahamasisha usajili wa wapigakura
video
C
Citizen TV (Youtube)August 25, 2026
1h ago
Kwa siku ya pili sasa vijana kutoka maeneo tofauti nchini wamepiga kambi katika kaunti ya Nyamira, kwenye kampeni ya kuwahimiza wakazi hasa vijana kujitokeza na kujisajili kuwa wapiga kura.
Advertisement
Advertisement





