Back to home
Mwakilishi wa kike Jerusha Momanyi ataka ushirikiano kupambana na ukatili dhidi ya watoto Nyamira
video
C
Citizen TV (Youtube)August 25, 2026
1h ago
Mwakilishi wa kike katika kaunti ya Nyamira Jerusha Momanyi ameomba ushirikiano kati ya jamii na asasi za usalama katika kaunti hiyo, ili kukabiliana na ongezeko la visa vya ubakaji, ulawiti na mauaji ya watoto.
Advertisement
Advertisement





