Back to home

Wazee wa Samburu waendeleza juhudi za kukomesha ukeketaji na ndoa za mapema

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 26, 2026
1h ago
Baraza la wazee wa jamii ya wasamburu limeafikiana kuendeleza juhudi za kukomesha mila potovu ya ukeketaji na ndoa za mapema, ili kuwalinda watoto wa kike kutoka jamii hiyo. Na jinsi anavyoarifu Mwanahabari wetu Bonface Barasa, baraza hilo limeelezea haja ya jamii kukumbatia elim
Advertisement