Back to home

Gachagua aibua tuhuma za njama ya kuiba kura katika uchaguzi wa 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 26, 2026
1h ago
Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua amezua tetesi kuhusu njama ya kuiba kura katika uchaguzi wa mwaka wa 2027. Gachagua huku akizungumza na wanahabari ametoa madai kuwa shughuli ya utoaji zabuni kwa kampuni itakayichapisha karatasi za kura imeendeshwa kwa njia ambazo si halali
Advertisement