Back to home

Wabunge wa kike wakosoa matamshi ya gachagua kuhusu mke wa Murkomen

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 26, 2026
1h ago
Wabunge wa kike wameshutumu vikali matamshi ya aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua kuwa mke wa waziri usalama kipchumba murkomen arudishwe eneo la mlimani mlima kenya kwa kuwa ni mtoto wao. Wamekashifu matamshi hayo wakisema ni ya ukabila na wanawake hawachagui mahali wanapokwe
Advertisement