Back to home
Afueni kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na maradhi sugu baada kufuatia huduma za macho bila malipo
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 26, 2026
1h ago
Wagonjwa wanaosumbuliwa na maradhi sugu katika eneo la Chonyi, kaunti ya Kilifi, wamepata afueni baada ya hospitali ya Aga Khan, kwa ushirikiano na chuo kikuu cha Pwani, kutoa huduma za macho bila malipo.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyd
Advertisement
Advertisement





