Back to home
Waziri wa kilimo Kagwe aonya dhidi ya Uagizaji wa dawa za mimea zilizopigwa marufuku
video
C
Citizen TV (Youtube)August 26, 2026
1h ago
Waziri wa Kilimo Mutahi Kagwe, ametoa onyo dhidi ya uagizaji wa dawa za kuua wadudu wa mimea ambazo zimepigwa marufuku katika nchi zingine . Kagwe ametangaza kuwa Wizara ya Kilimo imeimarisha ukaguzi kuanzia mipakani hadi madukani ili kulinda afya ya wakenya.
Advertisement
Advertisement





