Back to home

Waziri wa kilimo Kagwe aonya dhidi ya Uagizaji wa dawa za mimea zilizopigwa marufuku

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 26, 2026
1h ago
Waziri wa Kilimo Mutahi Kagwe, ametoa onyo dhidi ya uagizaji wa dawa za kuua wadudu wa mimea ambazo zimepigwa marufuku katika nchi zingine . Kagwe ametangaza kuwa Wizara ya Kilimo imeimarisha ukaguzi kuanzia mipakani hadi madukani ili kulinda afya ya wakenya.
Advertisement