Back to home

Mama adaiwa kuwapa watoto wake wawili sumu baada ya mzozo na mumewe

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 26, 2026
1h ago
Watoto wawili wenye umri wa miaka 7 na miezi sita mtawalia pamoja na mama yao mzazi wanaendelea kupokea matibabu huko Kakamega baada ya kudaiwa kupewa sumu na mama mzazi kutokana na mzozo wake na mumewe. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyd
Advertisement