Back to home

Washiriki katika maonyesho Nation Meat Expo wapendekeza kuanzishwa kwa hazina ya mifugo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 26, 2026
1h ago
Washiriki katika maonyesho Nation Meat Expo wamependekeza kuanzishwa kwa Mfuko wa Mifugo, utakaowasaidia wafugaji kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi zinazoathiri uzalishaji wa mifugo, pamoja na kuhakikisha upatikanaji wa mikataba ya wanunuzi. Subscribe and watch NT
Advertisement