Back to home
Drusillah Okello Ouma aanza maisha mapya baada ya kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha fistula
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 26, 2026
1h ago
Drusillah Okello Ouma kutoka Kijiji cha Kochich, Kaunti ya Homa Bay, amekuwa akiishi na tatizo la fistula ya uzazi kwa zaidi ya miaka 50. Hata hivyo, miaka mitano iliyopita, maisha yake yalibadilika alipofanyiwa upasuaji wa kurekebisha fistula, ambao ulifanikiwa.
Subscribe and w
Advertisement
Advertisement





