Back to home
Polisi Nandi waharibu zaidi ya lita 5,000 za pombe haramu
video
C
Citizen TV (Youtube)August 27, 2026
1h ago
Polisi katika Kaunti ya Nandi wameharibu zaidi ya lita elfu tano za pombe haramu katika msako uliofanyika katika bonde la Kipsigak-Baibai, katika kijiji cha Kapkerer, eneo linalopakana na Kaunti za Nandi, Kisumu na Vihiga.
Advertisement
Advertisement





