Back to home
Kisumu: Kundi la vijana na wazee laanzisha michezo ya kuigiza kama njia mojawapo ya kuhubiri amani
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 20, 2026
2h ago
Kundi la vijana kwa ushirikiano na wazee limeanzisha michezo ya kuigiza kwa kutumia jeneza kama njia mojawapo ya kuhubiri amani na kuwaelimisha wanaoendelea kutumiwa na wanasiasa kuwa makini tunapoelekea kwenye uchaguzi wa mwaka ujao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for lates
Advertisement
Advertisement





