Back to home

Gachagua awaonya Mlima Kenya dhidi ya vyama vipya

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
2h ago
Kinara wa DCP, Rigathi Gachagua, amewatahadharisha wakaazi wa Mlima Kenya dhidi ya kujiunga na vyama vipya vinavyochipuka katika eneo hilo, akisema vinahatarisha kugawanya kura za eneo hilo. Akizungumza alipozuru Kaunti ya Murang’a Alhamisi, Gachagua amemtaja Rais William Ruto
Advertisement